Ni shule iliyoko wilaya ya temeke ijulikanayo kama st. Anthony imeweza kufaulisha wanafunzi wa kidato cha pili ktkt mtihani wao wa taifa kwa grade . A ,B, C ni wanafunzi watatu tu waliopata grade D nao walikuwa na matatizo ya kifamilia. Tunampongeza mkuu wa shule hiyo brazza ismail. Mungu ibariki itanzania mungu ibariki Afrika.
No comments:
Post a Comment